Umetuongoza vizuri
Wewe shujaa
Ushatuacha
Macho yamejaa
Ulikuwa na msimamo
Wenye ajabu
Uzalendo wako
Ni kama dhahabu
Siku yoyote
Hujatishwa
Waliojaribu kukutisha
Wale wamekwisha
Tanzania iende mbele
Ilikuwa milengo yako
Umejenga imara
Shukrani kwako
Sisi hatujaamini
Saa tulisikia
Ulituacha wewe
Moyoni utabakia
Wale wajakupenda
Ubaya kwao
Sisi tulikuwa pamoja
Magufuli babalao
Kila kitu ulitufanyia
Ile hayasahauliki
Ukae na amani
Mungu akubariku
Ushaondoka
Daima tutakumbuka
Salamu kwako
Shujaa wa Afrika
written by Murtaza Zavery
Form 4